Vipi?
Kuwepo kwangu Dar es Salaam katika miezi michache iliyopita kumenipa fursa bomba kinomi yakuona picha za kina Lady Jadee, Mwasiti, Prof. Jay na hata Rais Kikwette na mastaa wengi wengineo katika mabango makubwa kwa madogo ya matangazo yakituambia Malaria Haikubaliki. Tarehe 25 Aprili ni Siku ya Malaria Duniani. Haijawahi kutokea nafasi bomba kama hii ya kutokomeza malaria.
Shiriki!
Freddie
|